RAPA MASHUHURI WA AKUDO IMPACT CANAL TOP AKAMATWA NA MADAWA YA KULEVYA HUKO NCHINI CHINA..!!


''Canal Top''
Madawa ya kulevya ni noma sana, yamesababisha vijana wengi wenye tamaa kuishia kunyongwa au wengine wapo sero mpaka leo.

 Habari zilizotufikia Bongoclan ni kua msanii kutoka kundi la Akudo Impact maarufu kama CANAL TOP kakamatwa china akiwa na sembe AKA UNGA aka MADAWA YA KULEVYA.

 Sasa bado hatujajua kesi yake inaendaje but mashushushu wetu china watalifanyia hilo kazi na kuja na majibu sahihi ambayo tutawaletea wasomaji wetu.

CHANZO:BONGOCLAN


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo