BREAKING NEWS: LORI LA MAFUTA LADONDOKA MTEREMKO WA MBALIZI MBEYA MUDA HUU

Picha ya Mlima Mbalizi
Live!
Kwa Taarifa Tulizo pokea sasa kutoka mlima wa Mbalizi zinasema kwamba kuna Lori la mafuta limedondoka muda huu na kusababisa watu waanze kuyachota mafuta hayo bila kujali kama Linaweza kulipuka.

Timu ya Mbeya yetu ipo eneo Hilo kwa sasa... taarifa zaidi Inakuja
 
CHANZO:MBEYA YETU BLOG


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo