SIMBA YAZURU KABURI LA MWALIMU NYERERE ILI KUONDOA 'NUKSI'


Timu ya wekundu wa msimbazi ya simba sport club ya jijini Dar es salaam imezuru kaburi la baba wa taifa hayati Mwalimu Julius Nyerere na kutangaza kuwa baraka walizozipata  zitawawezesha kunyakuwa ubingwa wa ligi kuu ambayo inatarajiwa kuanza hivi karibuni.

Timu hiyo ikiongozwa na kocha mkuu wake Abdallah Kibadeni na msaidizi wake Jamhuri Kihwelo,baada ya kuwasili katika eneo la Mwitongo imepokelewa na mjane wa baba wa Taifa Mama Maria Nyerere,kisha kudhuru katika kaburi la mwasisi huyo wa taifa la Tanzania na kuweka mashada ya maua katika kaburi hilo


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo