Katika picha, ni eneo lilipotokea tukio la kumwagiwa Tindikali
Tetesi zilizonifikia ambazo SI NZURI (kwa tunaopenda kuona wenzetu hata
tukiwa na tofauti nao) zinaashiria kama kuna kitu kisicho cha kawaida
kimemkuta bwana huyu hii leo.
Vyanzo vyangu vya kuaminika vinanihabarisha kuwa bwana huyu yamemkuta ya kumkuta.
Vyanzo vyangu vya kuaminika vinanihabarisha kuwa bwana huyu yamemkuta ya kumkuta.
Taarifa za awali zinadai kamwagiwa Tindikali maeneo ya Msasani City Mall muda wa saa 2.
Ni jirani na Ubalozi wa Marekani na jirani kabisa na Police Oysterbay.
Jamaa aliyefanya kitendo hicho alitoka mbio, mlinzi akamkimbiza lakini bahati mbaya akateleza na kuanguka na jamaa akawahi pikipiki na kutoweka eneo la tukio.
Said amelazwa Trauma (AMI) Hosp - Masaki
Ni jirani na Ubalozi wa Marekani na jirani kabisa na Police Oysterbay.
Jamaa aliyefanya kitendo hicho alitoka mbio, mlinzi akamkimbiza lakini bahati mbaya akateleza na kuanguka na jamaa akawahi pikipiki na kutoweka eneo la tukio.
Said amelazwa Trauma (AMI) Hosp - Masaki
CHANZO: JAMII FORUM