BASI NA LORI YAGONGANA USO KWA USO MAKAMBAKO MKOANI NJOMBE

                           Picha na Tone media

Habari zilizotufikia hivi punde kunaajali imetokea makambako baada ya basi lililokua linatoka Iringa kugongana uso kwa uso na Lori.

Hakuna aliyekufa wala majeruhi.Endelea kutembelea mtandao huu tutakujuza zaidi


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo