Haya ni baadhi ya maeneo ambayo yamedondokewa na barafu leo asubuhi kama yalivyokutwa na kamera ya blog hii leo asubuhi, msimu huu ni wa baridi kali wilayani hapa ambayo inaambatana na barafu, karibu sana Makete
TAZAMA BARAFU ILIVYODONDOKA KWENYE ARDHI YA MAKETE LEO ASUBUHI
By
Unknown
at
Wednesday, June 05, 2013