PICHA ZA M 2 THA P MARA BAADA YA KUFIKA MSIBANI MOROGORO

Hapa ni msanii M 2 tha P(kushoto) akiwa na mtangazaji wa Times Fm Dida wa Mitikisiko, hapa wakiwa Morogoro muda mchache kabla ya kuuaga mwili wa marehemu Mangwea, Ikumbukwe kuwa msanii huyo ndiyo katoka leo hii huko Afrika kusini alikokuwa kwa matibabu na bado afya yake haijaimarika vizuri(Picha na Dida)


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo