skip to main |
skip to sidebar
PICHA WAOMBOLEZAJI WAKIELEKEA KUMZIKA MUME WA KHADIJA KOPA
Wakazi wa mtaa wa Magomeni wilaya ya Bagamoyo mkoani Pwani wakiwa wamebeba jeneza lenye mwili wa mume
wa Khadija Kopa, Jafary Ally ambaye ni Diwani wa CCM kata ya Magomeni
wakati wakielekea makaburi kwa ajili ya shughuli za mazishi.
JIUNGE NA EDMO BLOG SASA
Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube
Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi