MOTO WATEKETEZA NYUMBA KINONDONI DAR ES SALAAM

 
Baadhi ya wakaazi wa kinondoni jijini DSM wakishuhudia nyumba zikiteketea kwa moto mchana wa leo,moto unaoelezwa na mashuhuda kwamba huenda ulisababishwa na shoti ya umeme.
  
Hapo moja ya nyumba ikiwa inamalizikia kuteketea.
 
Hayo ni mabaki ya nyumba zilizoteketea kwa moto kinondoni jijini DSM leo mchana.


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo