Mbunge wa kuteuliwa, James Mbatia akichangia mada wakati wa
majadala wa bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Bungeni mjini
Dodoma leo. (Picha na Joseph Senga)
Mbunge
wa kuteuliwa, James Mbatia akionesha baadhi ya vitabu ambavyo
vina makosa mbalimbali, vinavyotumika kufundishia mashuleni, wakati
alipokuwa akichangia bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi,
bungeni mjini Dodoma jana. (Picha na Joseph Senga)