LADY JAYA DEE AKIWA NA WASANII WAKONGWE WA MUZIKI WATAKAOMSINDIKIZA IJUMAA HII

Msanii Lady Jay Dee hapa akiwa na wasanii wakongwe hapa nchini ambao ni miongoni mwa wasanii watakaompa shavu la kutosha siku ya Ijumaa 14.06.2013 pale nyumbani Lounge
Tar 14 June kwenye sherehe za miaka 13 ya Jide kutakuwa na ugeni mwingine Mr. 2 SUGU ndani ya nyumba... Atakuja ku show love,,, Sema Unachowezaaa Mambo ya fedhaaaa


\


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo