CHANZO CHA UHARIBIFU WA BARABARA MAKETE HIKI HAPA

 Mifereji ikiwa imeziba na maji yanapita juu ya barabara
 Kalavati hili limeziba na maji hayapiti, lakini hupita juu ya barabara na kuja kutumbukia hapa




 Maji yanavyoharibu barabara kwa kupita juu badala ya kwenye kalavati
Uharibifu wa barabara zilizopo wilayani Makete umebainika ambapo mtandao huu umebaini kuwa chanzo kikuu cha uharibifu huo ni uzibaji wa mitaro ya maji iliyopo kando mwa barabara hiyo, jambo linalosababisha maji kupita juu ya barabara

Hali hiyo inasababishwa na wingi wa mvua zinazonyesha wilayani hapo, na mtandao huu unashauri wahusika kuona namna ya kuzibua mifereji hiyo ili maji yapite la sivyo maji yatazidi kupita juu ya barabara na kuziharibu


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo