Mama mmoja nchini Nigeria ameamua kumzika mtoto wake akiwa hai.
Baada ya
taarifa kupatikana polisi walienda na kuamua kufukua. Baada ya kufukua
walimkuta mtoto huyo, na kumkimbiza hospitali aliposafishwa mtoto huyo
alikutwa hai!
Ama kweli kama siku yako ya kufa haijafika uwezekano wa kufa ni mgumu
