VITAZAME VITU VYA MAREHEMU SHARO MILIONEA VILIVYOKAMATWA NA POLISI HADI SASA

Mkuu wa Wilaya ya Muheza pamoja na Jeshi la Polisi la mkoani Tanga limetangaza kuwa baadhi ya vitu vya marehemu Sharo Millionea ambavyo alivyopata navyo ajali vimepatikana. 

Vitu hivyo ambayo na pamoja na Simu.Battery ya Gari,Viatu,T-shirt,Jeans,Pete,Cheni na Tairi moja ya gari. Vitu hivyo vimerudishwa na polisi jamii ambao ni wazazi wa wezi hao. 

Aidha pamoja na vitu hivyo kupatikana Jeshi la Polisi bado linaendelea kufanya msako wa kuwapata hao vijana ambao ndio wanasadikika kuwa ndio wezi wenyewe.


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo