RAIS KIKWETE AONGOZA WAOMBOLEZAJI KATIKA MAZIKO YA KABOYONGA


Baadhi ya waombolezaji wakielekea makaburini wakati wa maziko ya mbunge wa zamani wa Tabora mjini, marehemu Siraju Juma Kaboyonga katika makaburi ya Kisutu jijini Dar es Salaam leo asubuhi.
Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akiweka udongo kwenye kaburi la marehemu Siraju Juma Kaboyonga aliyewahi kuwa Mbunge wa Jimbo la Tabora Mjini,ambaye alifariki ghafla jana.
Rais mstaafu wa awamu ya pili,Mh. Mzee Ali Hassani Mwinyi akiweka udongo kwenye kaburi la Marehemu Siraju Juma Kaboyonga wakati wa maziko yake,yaliyofanyika mapema leo kwenye makaburi ya Kisutu,jijini Dar es Salaam.


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo