BREAKING NEWZZZZZ:PROF MAHALU ASHINDA KESI YAKE MAHAKAMA YA KISUTU LEO


Taarifa zilizonifikia muda si mrefu ni kwamba Profesa Costa Mahalu, ameshinda kesi iliyokuwa ikimkabili wakatia akiwa balozi wa Tanzania huko italia, na hukumu hiyo imetolewa na mahakama ya hakimu mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam, taarifa zaidi endelea kufuatilia mtandao huu


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo