BARABARA INAPOKUWA NAMNA HII






Picha hizi zinaonesha barabara ya Makete Njombe eneo la Mabehewani wilayani Makete ikiwa imeharibika kutokana na mvua zinazonyesha wilayani humo, majuzi basi la Mwafrika linalofanya safari zake kati ya Makete Iringa lilikwama hapo kwa zaidi ya masaa matatu


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo