Picha hizi zinaonesha barabara ya Makete Njombe eneo la Mabehewani wilayani Makete ikiwa imeharibika kutokana na mvua zinazonyesha wilayani humo, majuzi basi la Mwafrika linalofanya safari zake kati ya Makete Iringa lilikwama hapo kwa zaidi ya masaa matatu
BARABARA INAPOKUWA NAMNA HII
By
Unknown
at
Monday, April 09, 2012
Picha hizi zinaonesha barabara ya Makete Njombe eneo la Mabehewani wilayani Makete ikiwa imeharibika kutokana na mvua zinazonyesha wilayani humo, majuzi basi la Mwafrika linalofanya safari zake kati ya Makete Iringa lilikwama hapo kwa zaidi ya masaa matatu





