SIKU YA MSALABA MWEKUNDU DUNIANI

Wanachama wa msalaba mwekundu wakiwa katika maandamano ya kuadhimisha siku ya msalaba mwekundu duniani, kimkoa iliadhimishwa mkoani dar es salaam

Na pia chama hicho kimetoa onyo kali kwa wale wanaotumia nembo ya msalaba mwekundu bila kibali maalum yakiwemo maduka ya dawa, magari ya kubebea wagonjwa nk 


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo