Picha: Mbunge Ester Bulaya yupo Hoi Hospitali



Kupitia Ukurasa wa Twitter wa Chadema umeripoti kuhusu Mbunge Ester Bulaya wa Bunda Mjini anayeshikiliwa na jeshi la polisi, hali yake sio nzuri baada ya kuzimia, na yupo katika hospitali ya Tarime kwa matibabu zaidi kama picha zinavyoonesha


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo