Picha: Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Kinana aonekana Hadharani Leo



 Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akizungumza jambo na Katibu wa Makamu wa Rais Wazir Salum mapema leo jijini Arusha walipokuwa wakielekea kwenye tukio la kuaga miili ya Wanafunzi 32,waalimu wawili na dereva mmoja ndani ya uwanja wa Sheikh Amri Abeid mjini humo,ambapo Makamu wa Rais Samia Suluhu Hassan alishiriki kuongoza tukio hilo,kushoto ni katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM Ndugu  Pole Pole
 Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akisalamiana na Katibu wa Makamu wa Rais Wazir Salum mapema leo jijini Arusha walipokuwa wakielekea kwenye tukio la kuaga miili ya Wanafunzi 32,waalimu wawili na dereva mmoja ndani ya uwanja wa Sheikh Amri Abeid mjini humo,ambapo Makamu wa Rais Samia Suluhu Hassan alishiriki kuongoza tukio hilo,kushoto ni katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM Ndugu  Pole Pole
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akifurahia jambo Katibu wa Makamu wa Rais Wazir Salum mapema leo jijini Arusha walipokuwa wakielekea kwenye tukio la kuaga miili ya Wanafunzi 32,waalimu wawili na dereva mmoja ndani ya uwanja wa Sheikh Amri Abeid mjini humo,ambapo Makamu wa Rais Samia Suluhu Hassan alishiriki kuongoza tukio hilo,kushoto ni katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM Ndugu  Pole Pole


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright 2025 EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo