Picha za Mwili wa RPC Peter Kakamba ukiwa Muhimbili


ALIYEKUWA Mkuu wa Polisi mkoani Singida (RPC) Peter Charles Kakamba, ambaye alifariki dunia usiku wa kuamkia juzi Jumanne katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili jijini Dar es Salaam, mwili wake uliagwa jana baada ya ibada ya mazishi iliyofanyika Kanisa Katoliki Parokia ya Muhimbili na kusafirishwa kuelekea kijiji cha Chasimba wilayani Mpanda, Mkoa wa Katavi kwa mazishi.

Marehemu alikuwa akisumbuliwa na tatizo ya utumbo kujikunja ambapo alifanyiwa upasuaji mara kadhaa lakini liliendelea kujirudia mpaka umauti ulipomkuta.
HABARI/PICHA: RICHARD BUKOS NA ISSA MNALLY /GPL


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo