Taarifa kwa vyombo vya Habari

 
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
WIZARA YA MAMBO YA NJE, USHIRIKIANO WA AFRIKA MASHARIKI, KIKANDA NA KIMATAIFA
Coat of Arms
 


Simu:255-22-2114615, 211906-12
Baruapepe: nje@nje.go.tz
Baruapepe: gcu@nje.go.tz

Nukushi: 255-22-2116600


 


                20 KIVUKONI FRONT,
                           P.O. BOX 9000,
      11466 DAR ES SALAAM, 
                                    Tanzania.

 
DARAJA LA KIMATAIFA LA RUSUMO NA KITUO CHA HUDUMA KWA PAMOJA VYAZINDULIWA RASMI
RaiswaJamhuriyaMuunganowa Tanzania Mhe. Dkt. John PombeMagufulileoAprili 6, 2016 amezinduadaraja la kimataifa la RusumonaKituo cha HudumakwaPamojaMpakani (OSBP) cha Rusumo. 
Zoezihilo la uzinduzilililofanywanaMhe. RaisMagufuliwa Tanzania naMhe. RaisPaul Kagamewa Rwanda, limehudhuriwanaviongoziwangazizajuuwaSerikalikutokanchizotembili, Mabalozi, naViongoziwaTaasisimbambalizaKitaifanaKimataifa.
Daraja la Kimataifa la RusumonaKituo cha hudumakwaPamojaMpakaninikiungomuhimukatikaUkandawa Kati (Central Corridor) unaounganishabarabarakuuya Dar es Salaam -  Chalinze – Morogoro – Dodoma – Singida – Nzega – Tinde – Isaka – LusahunganaRusumokupitiaKibingoNakayonzahadi Kigali nchini Rwanda. Mtandaohuuwabarabarautakuwakichocheokikubwa cha ukuajiwauchumikatiya Tanzania na Rwanda.
Akizungumzakatikasherehezauzinduziwamradihuo,Mhe. Dkt. MagufulialiwahimizawananchikutumiafursayauwepowaDaraja la RusumonaKituo cha hudumakwaPamojaMpakaniRusumokujileteamaendeleoyamtummojammojanaJumuiyayaAfrikaMasharikikwaujumla.
AidhaRaisMagufuliamewaasawananchikulindamiundombinudhidiyaweziwanaodirikikuibaalamazabarabarani, vyumavyamadarajanakuhaributaazabarabaranikwabaadhiyamiji. Ameagizavyombovyausalamakuhakikishawanalindamiundombinuhiyonakuwachukuliahatuazakisheria wale wotewatakaokamatwawakifanyauharibifuhuo.
Aidhalichayamradihuokurahisishausafairishajiwabidhaanawatukwaupande wake Waziriwa Mambo yaNje, UshirikianowaAfrikaMashariki, KikandanaKimataifa, Mhe. Dkt. Augustine Mahigaalielezafaidakadhaazamradihuozikiwemo; kuwanikiungomuhimu cha JumuiyayaAfrikaMasharikinaJumuiyanyinginezaKikandakama vile  SADC na COMESA, kurahisishamawasilianoyakijamiibainayawatuwa Tanzania na Rwanda, pamojanakuimarishauhusianonakukuzabiasharakatiyanchihizimbilinanyinginezaMaziwaMakuu.
UjenziwaDaraja la Kimataifa la RusumonaKituo cha hudumaPamojaMpakaniRusumonimojayamiradiinayotekelezwakwamsaadakutokaSerikaliya Japan kwanchiza Tanzania na Rwanda kupitiashirika lake la maendeleo la JICA. Mradihuukwaupandewa Tanzania umegharimutakribanikiasi cha TShs.33,206,508,072.07 hadikukamilika. MiradimingineinayotekelezwakwakushirikiananaSerikaliya Japan kupitia JICA nipamojanaujenziwaBarabarayaArusha – Namanga, Iringa – Dodoma, Namtumbo – Kilimasera – Matemanga – TundurupamojanabarabarayaMasasi - Mangaka.
Mwisho.
Imetolewana;
Kitengo cha MawasilianoyaSerikali,
Wizaraya Mambo yaNje, UshirikianowaAfrikaMashariki, KikandanaKimataifa, Dar es Salaam
06 Aprili, 2016



JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo