VURUGU BUNGENI: SPIKA MAKINDA AAHIRISHA TENA BUNGE KWA MARA YA PILI

Spika wa Bunge Anna Makinda   jioni  Ya jana amelazimika kuahirisha  tena  kikao cha Bunge hadi kesho asubuhi  kwa  madai  kuwa  serikali  bado  inajipanga  kutoa  majibu  sahihi  kutokana  na  tukio  la  kupigwa  mabomu  Mwenyekiti  wa  Chama  cha  CUF, Profesa  Ibrahim  Lipumba.

Kuahirishwa  kwa  bunge  kumetokana na vurugu zilizotokea    jana  asubuhi bungeni baada ya kutolewa kwa hoja binafsi kutoka kwa Mbunge na Mwenyekiti wa chama cha NCCR-Mageuzi, James Mbatia kuhusu jeshi la polisi kumshambulia Profesa Ibrahimu Lipumba jana akiwa kwenye maandamano .


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo