UPDATES: MVUA KUBWA YENYE UPEPO MKALI YAEZUA PAA LA DARASA NA NYUMBA YA MWALIMU WILAYANI HAI

 Moja ya Madarasa yakiwa yameharibiwa vibaya na Mvua na kusababisha kuezua paa na kubomoa Darasa hilo
 Baadhi ya miti ikiwa imeangushwa chini na mvua kubwa iliyo sababishwa na  Mvua kali iliyo ambatana na upepo mkali na radi.
 Nyumba ya Mwalimu ambayo ilikuwa inajengwa na paa Juu likiwa tayari lakini , mvua kubwa imeliezua
Hili ni Paa la nyumba ya Mwalimu  ambalo limeezuliwa na mvua.
Picha na Joshua 
Na Kilimanjaro yetu Blog


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo