MWANAMUZIKI WA NYIMBO ZA DINI AWEKA PICHA CHAFU MTANDAONI


Click image for larger version. 

Name: Maheeda goes topless 2.jpg 
Views: 1 
Size: 13.0 KB 
ID: 24
Mwimbaji wa nyibo za injili toka nchini Nigeria ajulikanaye kwa jina la Maheeda amejikuta akitengwa na kanisa baada ya picha zake za uchi kuvuja….

Taarifa zinadai kwamba kabla ya kuanza kuimba nyimbo za dini, mrembo huyo alikuwa akijihusisha na mziki wa kidunia ambao kwa tanzania unajulikana kwa jina la Bongo Fleva 

Reply With Quote


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo