skip to main |
skip to sidebar
LULU AWAGAWIA FEDHA WAGONJWA WA SARATANI (CANCER) OCEAN ROAD JIJINI DAR
Mwanadada Elizabeth Michael ama LULU leo ametembelea
hospitali ya Ocean Road Iliyopo jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kutoa
zawadi za fedha kwa ajili ya wagonjwa wa cancer hospitalini hapo.
kupitia ukurasa wake wa instagram LULU ameandika
"Naamini Mimi sio mwema sana mpk Mungu akaniwezesha kuona mwezi
huu nikiwa mzima na mwenye afya...!kwa kutambua Hilo nimeanza mwezi huu
kwa kupita ktk hospital ya OCEAN ROAD na kutoa mchango ili kuwasaidia
wagonjwa wa CANCER...!Tuwe na utaratibu wa kuwakumbuka wahitaji kwa
chochote tulichonacho! Nawatakia mwezi wenye Baraka na mafanikio!..."
Hongera sana lulu kwa moyo wako huu.
JIUNGE NA EDMO BLOG SASA
Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube
Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi