article-2483831-1922C52100000578-809_306x423
Shatuniha.

Jina lake rasmi halikutajwa lakini bikira yake haijawahi kutumika Habari hizo zinakuja baada ya binti mwingine miezi iliyopita toka huko huko Urusi kuuza bikira yake kwa paundi 30,000.


Binti huyo mwenye umri wa miaka 18 – anajulikana tu kama Shatuniha jina la utani – kutangazwa kwake kwenye tovuti ya online kama mnada kumevutia watu wengi katika jiji la Moscow na kuelezea kwamba sehenu zake za siri hazijatumika kabisa mmmmmh wadau mpo!
article-2483831-1922C4FD00000578-135_634x419
Binti huyo amepanga mwanaume atakayefika dau wakutane katika hoteli ya mji wa Krasnoyarsk nchini humo.

Yeye mapendekezo yake kwenye mkutano na waandishi wa habari kwenye hoteli katika mji wa Krasnoyarsk ambapo binti huyo alitaka kulipwa paundi hizo kabla ya kulala na mtu na si kwa bei ya chini ya paundi 18,000.

Polisi nchini Urusi wamesema hawatafanya uchunguzi wa tukio kwa sababu yeye na wanunuzi hawajavunja sheria za nchi.
 
‘Mimi ni katika harakati za kutafuta fedha ya haraka, hivyo mimi nimeamua kuweka bikira kwenye soko kwa bei kubwa ili wateja wa ngono waweze kupata kitu kipya kabisa katika starehe ya kustareheshana,’ amesema binti huyo kupitia tovuti hiyo,’ 


‘Mimi nipo tayari kukutana na mamlaka zote kama zinataka ufafanuzi zaidi, ni uamuzi wa kuweka biashAra hii muhimu kwenye tovuti ili wateja wafanye tathimini,’ aliongeza 
article-2483831-1922C4B000000578-206_634x402
Screen shot ya mtandao aliotangaza bidhaa kunadi Ubikira wake.