Pichani
ni Kivuko cha juu cha Watembea kwa Miguu kinachojengwa eneo la Mabatini
jijini Mwanza,ambacho kinaendelea na ujenzi hivi sasa.Kivuko hiki
kikikamilika kitasaidia sana kupunguza ajali za mara kwa mara katika
eneo hilo ambalo linamsongamano mkubwa sana wa watu.
Picha kwa Hisani ya Michuzi BlogUJENZI WA DARAJA LA KUVUKIA WAENDA KWA MIGUU MABATINI MWANZA WAENDELEA VIZURI
By
Edmo Online
at
Sunday, October 27, 2013

