WIZARA YA UCHUKUZI
MAMLAKA YA HALI YA HEWA.
S.L.P.3056, DAR-ES-SALAAM
TELEFAX-2460772.
UTABIRI WA HALI YA HEWA KWA SAA12
ZIJAZO KUANZIA ASUBUHI YA LEO.
TAREHE 30/03/2013.
[Mikoa ya Kagera, Mara,
Mwanza na Shinyanga]:
[Mikoa ya Kigoma, na
Tabora]:
|
Hali ya mawingu, mvua
na ngurumo katika
baadhi ya maeneo na vipindi vifupi
vya jua.
|
|
[Mikoa ya Dar es salaam,
Tanga na Pwani]:
[Visiwa vya Unguja na
Pemba]:
[Mkoa wa Morogoro
(kaskazini)]:
[Mikoa ya Kilimanjaro,
Arusha na Manyara]:
[Mikoa ya Singida na
Dodoma]:
[Mikoa ya Mbeya, Iringa na
Rukwa]:
[Mikoa ya Ruvuma na
Morogoro kusini]:
[Mikoa ya Lindi na Mtwara]:
|
Hali ya mawingu kiasi, mvua
na ngurumo katika maeneo machache na vipindi vya jua.
|
VIWANGO VYA JOTO, MAWIO NA MACHWEO YA JUA KWA BAADHI
YA MIJI HAPA NCHINI:
MJI
|
Kiwango cha juu cha
joto
|
Machweo (Saa)
|
ARUSHA
|
28°C
|
12:44
|
D'SALAAM
|
33°C
|
12:33
|
DODOMA
|
30°C
|
12:47
|
KIGOMA
|
28°C
|
01:11
|
MBEYA
|
27°C
|
12:56
|
MWANZA
|
27°C
|
12:58
|
TABORA
|
27°C
|
12:59
|
TANGA |
32°C
|
12:34
|
ZANZIBAR
|
32°C
|
12:33
|
PEMBA
|
31°C
|
12:29
|
MOROGORO
|
31°C
|
12:35
|
Upepo wa Pwani: Unatarajiwa kuvuma kwa kasi ya km 30 kwa saa;kutoka Kusini
kwa Pwani ya Kaskazini na kutoka Kusini-Mashariki kwa Pwani ya
Kusini.
.
Hali ya bahari:
Inatarajiwa kuwa na mawimbi makubwa
kiasi.
Matazamio kwa usiku wa leo Jumamosi:
30/03/2013: Mabadiliko kidogo.
Utabiri huu umetolewa leo
tarehe 30/03/2013.
Na: MAMLAKA YA HALI YA HEWA TANZANIA.