Mwenyekitiwa
Chama
cha Democratic (DP), Mchungaji Christopher Mtikila akizungumza katika
mkutano uliofanyika leo katika Ofisiza Tume hiyo Jijini Dar es Salaam na
Chama hicho kilipowasilisha maoniyao Kuhusu Katiba Mpya mbele ya
Wajumbe wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba wakiongozwa na Jaji
Joseph Warioba. Kuliani Katibu waTume, Assaa Rashid na Mwenyekiti wa
Tume hiyo, Jaji
Joseph Warioba.
MwenyekitiwaTume ya Mabadiliko ya Katiba,
Jaji Joseph WariobaakizungumzanaViongoziwa Chama cha Democratic (DP)
wakiongozwanaMwenyekitiwaoMchungaji Christopher Mtikila(kushoto) waliofikakatika Ofisiza Tume Jijini
Dar es Salaam kuwasilisha maoni yao kuhusu Katiba Mpya.
Katikati ni Katibu waTume, Assaa Rashid.