TANGAZO MUHIMU KUTOKA HATUA MEDIA COMPANY(HAMECO)

Kutakuwa na Kikao Maalum kwa ajili ya Kuzungumzia Masuala kadhaa ambayo yanatakiwa kufanyika kwa Muda Huu
Wanachama wote wa HAMECO Mnaombwa kuhudhuria hasa kwa Wale ambao Wapo Dar es Salaam.
Kwa Wale ambao Tuko Mikoani kama kuna uwezekano wa Kuhudhuria, itakuwa Ni Vema zaidi maana Mchango wenu ni Muhimu Zaidi

SIKU YA KIKAO:
Kikao Kitafanyika Siku ya JUMAMOSI ya Tarehe 01 December 2012

MUDA : Saa 9 : 00 Alasiri

MAHALI : Yombo Vituka, Nyumbani kwao FRANK M. J.

DHUMUNI LA KIKAO :
Kutafakari na Kurejea Maazimio ya
Kampuni Ya HAMECO, Pamoja na Kuandaa Mikakati kwa ajili ya Kuiboresha Zaidi Kampuni.
Tafadhari, unaombwa Kuhudhrioa Bila Kukosa.

 
HATUA MEDIA COMPANY LTD. HAMECO)

Kutakuwa na Kikao Maalum kwa ajili ya Kuzungumzia Masuala kadhaa ambayo yanatakiwa kufanyika kwa Muda Huu
Wanachama wote wa HAMECO Mnaombwa kuhudhuria hasa kwa Wale ambao Wapo Dar es Salaam. 

Kwa Wale ambao Tuko Mikoani kama kuna uwezekano wa Kuhudhuria, itakuwa Ni Vema zaidi maana Mchango wenu ni Muhimu Zaidi

SIKU YA KIKAO:
Kikao Kitafanyika Siku ya JUMAMOSI ya Tarehe 01 December 2012 

MUDA : Saa 9 : 00 Alasiri

MAHALI : Yombo Vituka, Nyumbani kwao FRANK M. J.

DHUMUNI LA KIKAO :
Kutafakari na Kurejea Maazimio ya @[100002019027935:2048:Kampuni] Ya HAMECO, Pamoja na Kuandaa Mikakati kwa ajili ya Kuiboresha Zaidi Kampuni. 

Tafadhari, unaombwa Kuhudhrioa Bila Kukosa


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo