KANUMBA KUZIKWA DAR

Mama mzazi wa aliyekuwa msanii wa filamu hapa nchini marehemu Steven Kanumba amesema maziko ya mwanaye yatafanyika jijini Dar es Salaam siku ya Jumanne 10/04/2012

Akizungumza na mtandao huu Mama Kanumba amesema ndugu wengi wa marehemu Kanumba wapo jijini DSM hivyo akaona ni vyema azikwe katika makaburi ya Kinondoni jijini Dar es Salaam

Kabla ya maziko hayo ibaada ya kumwombea marehemu Kanumba itafanyika katika viwanja vya Leaders ambapo pia watatoa heshima za mwisho kwa mwili wa marehemu 


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo