WIZI HUU WA KAZI ZA WASANII UTAISHA LINI BONGO?

 
Hizi ni kazi za wasanii mbalimbali wa bongofleva na kazi hizi bandia tayari zinauzwa kitaa, na taarifa zilizopo wasanii wote ambao nyimbo hizi zipo kwenye CD hii hawajaruhusu kwa maana nyingine wameibiwa, sasa dawa yake nii ipi jamani Serikali?


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo