MIAMI, MAREKANI
BAADA ya Christina Milian kuachwa na mumewe aitwaye The Dream, dada huyo amerudi kwa aliyewahi kuwa mpenzi wake wa muda mfupi, rapa Lil Wayne na anatarajia kufanya kazi chini ya lebo ya kaka huyo ya Young Money.
Ni takribani miaka sita imepita tangu mwanamuziki huyo aliyewahi kutamba na wimbo wa Dip it Low na Say I, aachie albamu ya kwanza.
Milian anasema alimpelekea nyimbo zake Wayne, alipozisikiliza alizipenda na kukubali kufanya naye kazi chini ya lebo hiyo ambayo ina mastaa kama Nick Minaj, Tyga, Drake, Jay Sean, Bird Man n.k.
Christina Milian aliachia albamu ya mwisho ya 'So Amazin' mwaka 2006.
Akiwa na Young Money anatarajia kuachia albamu itakayoingia sokoni katikati ya mwaka huu.
BAADA ya Christina Milian kuachwa na mumewe aitwaye The Dream, dada huyo amerudi kwa aliyewahi kuwa mpenzi wake wa muda mfupi, rapa Lil Wayne na anatarajia kufanya kazi chini ya lebo ya kaka huyo ya Young Money.
Ni takribani miaka sita imepita tangu mwanamuziki huyo aliyewahi kutamba na wimbo wa Dip it Low na Say I, aachie albamu ya kwanza.
Milian anasema alimpelekea nyimbo zake Wayne, alipozisikiliza alizipenda na kukubali kufanya naye kazi chini ya lebo hiyo ambayo ina mastaa kama Nick Minaj, Tyga, Drake, Jay Sean, Bird Man n.k.
Christina Milian aliachia albamu ya mwisho ya 'So Amazin' mwaka 2006.
Akiwa na Young Money anatarajia kuachia albamu itakayoingia sokoni katikati ya mwaka huu.
(Na Mwanaspoti)