Mtoto wa Ajabu Mwenye Sehemu za Siri Usoni



NewsImages/6393250.jpg
Mtoto wa Ajabu aliyezaliwa mkoani Ruvuma
Monday, May 07, 2012 1:27 PM
Mtoto wa ajabu amezaliwa mkoani Ruvuma akiwa na nne za siri ambapo sehemu za siri mbili za kike na kiume zipo kwenye paji la uso na sehemu zingine mbili za siri za kike na za kiume kwenye maeneo ya sehemu za siri.
Mtoto huyo alizaliwa kwenye hospitali ya mkoa wa Ruvuma akiwa na jumla ya sehemu nne za siri ambapo mbili kati ya hizo zipo usoni na zingine mbili zipo kwenye maeneo ya sehemu za siri.

Mtoto huyo ni mtoto wa nne kuzaliwa katika familia ya bwana Said Abdallah ambayo tayari ina watoto watatu ambao hawana kasoro yeyote.

Mganga Msaidizi mfawidhi wa hospitali ya mkoa wa Ruvuma, Bwana Mathew Chanangula alisema kuwa sababu ya kuzaliwa kwa mtoto huyo akiwa na maumbile ya ajabu huenda ikawa imesababishwa na mama wa mtoto huyo kutumia madawa makali wakati wa ujauzito.


Na nifahamishe.com


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo