Kauli ya Gerald Hando kuhusu serikali kukopa yamtokea puani "Tumechukua hatua"


EFM imesema kuwa kauli ya Mtangazaji Gerald Hando kuwa Serikali inakopakopa sana, si msimamo wa EFM wala TVE bali ni maoni yake binafsi.


Chombo hicho cha habari kimewaomba radhi waliokwazwa na kauli hiyo na kueleza kuwa kimechukua hatua dhidi ya mhusika.



JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo