Chama cha Mapinduzi (CCM), kimesikitishwa na kulaani kitendo cha udhalilishaji na ukiukaji wa haki ya msingi ya Mtanzania kuwa huru kufuata imani ya kisiasa.
Chama cha Mapinduzi (CCM), kimesikitishwa na kulaani kitendo cha udhalilishaji na ukiukaji wa haki ya msingi ya Mtanzania kuwa huru kufuata imani ya kisiasa.