Basi la Simba mtoto na Lori zimegongana uso kwa uso, dereva wa lori ndio amefariki na majeruhi kadhaa
Baadhi
ya wasamaria wema wakijaribu kumchomoa Dereva wa Lori hilo aliyekuwa
amebanwa vibaya,pichani ambalo namba zake za usajili hazikufahamika mara
moja.
Basi la Simba mtoto linalofanya safari zake kati ya Dar na Tanga
likiwa limegongana uso kwa uso na Lori la mizigo katikati ya Daraja la
Mto Wami mkoani Pwani,dereva wa lori hilo amefariki papo hapo na wengine
kujeruhiwa.tutaendelea kupeana taarifa zaidi hapo baadae.