Naye Patrobas Katambi ambaye alikuwa ni mwenyekiti wa BAVICHA taifa ameamua kujiunga na chama cha mapinduzi mbele ya mkutano wa NEC.
Yumo Albert Msando mwanasheria mkuu wa ACT na mshauri wa sheria wa chama hicho. pia Lau masha kada wa CHADEMA.
Aliyosema Albert Msando
=> CCM ni chama ambacho mimi kama kijana sioni aibu kujihusisha nacho
=> Kipindi cha nyuma watu walikuwa wanaona aibu kusema wako CCM lakini sasa hivi ni ufahari.
=> CCM iliahidi kupapamba na ufisadi na rushwa na sasa hivi tunaona watu wanavyoshughulikiwa. Zamani taarifa zilikuwa zikitolewa watu hata hawafikishi polisi.
=> Nidhamu ya kazi imerudi pamoja na uwajibikaji na kila mtu natekeleza majukumu yake.
=> Ni mtu ambaye ni punguani ndio anaweza kupinga jitihada zinazofanyika.
KWELI CCM INAZIDI KUIMARIKA
