VIDEO: Ruvuma Yazidi Kuneemeka, Waziri Mkuu azidi Kurahisisha mambo

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, KASSIM MAJALIWA katika ziara yake ya Siku ya Pili mkoani Ruvuma ametembelea na kukagua eneo litakalojengwa mtambo wa kupoozea umeme wa Gridi ya Taifa kutoka Makambako mkoani Njombe kwenda Songea mkoani Ruvuma . Habari kamili hii hapa video yake.Ruvuma Tv


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo