Watanzania wawili na Mkenya mmoja wamekamatwa na kete 3,890 za Dawa za Kulevya


Watanzania wawili na Mkenya mmoja wamekamatwa baada ya kukutwa na kete 3,890 za madawa ya kulevya aina ya Cocaine yenye thamani ya shilingi milioni 400 na kilo nyingine mbili za heroini.

Watu hao walikamatwa eneo la Mlolongo katika barabara ya Mombasa wakitokea Arusha na kupitia Nairobi.

===============================

Two Tanzanians and a Kenyan were arrested for trafficking 3,890 sachets cocaine worth Sh20m and more than two kilos of heroin valued at Sh6 million.

The couple was arrested at Mlolongo area on Mombasa Road as they drove to Nairobi from Arusha on Sunday. 

They were in a four-wheel drive car when they were intercepted by officers from Special Crimes Prevention Unit.

The two were headed to the residence of the local Kenyan agent - identified as Elizabeth Njoki. 

Police said the couple led them to Muthaiga North estate where they arrested the said agent.

She later took the officers to another rented house in Umoja estate where police recovered the cocaine.

Head of Special Crime Prevention Unit Noah Katumo said the suspects will be charged at the Kibera law courts on Monday. 

The arrest comes barely two weeks after heroin worth Sh10 million was seized, suspect arrested in Naivasha raid.

Many other seizures have been made in Nairobi and Mombasa. 

Source: The Star


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo