Mwanamuziki
rapa nchini anayetikisa kwa ngoma ya ‘Pesa Madafu’, Jay Moe amekuwa
akionekana karibu sana na rapa Bilnass ambaye anatikisa na ngoma ya
‘Chafu Pozi’ kitu ambacho ni njia pekee ya Jay Moe kumpata mrembo
Shilole.
Baada
ya kuwepo kwa tetesi za wawili hao kutoka kimapenzi na zaidi
kuonekana picha wako pamoja kwenye moja ya eneo za kula bata wakati wa
usiku,chanzo chetu kilimtafuata

