Kituo cha redio Green Fm Makete Chapata Ugeni Leo



 Mkurugenzi wa Green Fm Egnatio Mtawa wa kwanza kulia akitoa ufafanuzi wa jambo kwa wajumbe wa kamati ya fedha na mipango ya wilaya ya Makete walipotembelea kituo hicho cha redio hii leo
 Mhandisi wa Ujenzi wilaya ya Makete Injinia Tembo akifurahia jambo na Mkurugenzi wa Green FM

 Wageni hao wakisikiliza muziki studio katika studio 1
 Mkurugenzi wa halmashauri ya wilaya ya Makete Bw. Francis Namaumbo wa kwanza kulia akifurahia jambo


 Pongezi zikitolewa baada ya kutembelea studio hizo

Studio namba 1 ya Green FM


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo