"Ipo haja ya kuongeza idadi ya 5 bora CCM" adai Rais Kikwete

Rais Jakaya Kikwete ambaye ni mwenyekiti wa chama cha mapinduzi (CCM) amesema chama kinatakiwa kuangalia namna ya kuongeza idadi ya majina ya watia nia watakao ingia kwenye tano bora na kuongezeka zaidi

Rais Kikwete amesema hayo wakati akihutubia mkutano mkuu wa CCM 2015 usiku huu wenye lengo la kumpata mgombea urais wa CCM mwaka 2015

"Yeyote kati ya hawa watatu walioingia kwenye tatu bora wanatosha, mkimchagua mmoja kati ya hawa ataweza kupeperusha bendera ya CCM" amesema rais Kikwete


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo