OFISI YA CCM KISHUMUNDU NI BALAA


Hili si zizi la Mbuzi au banda la kuku bali ni Ofisi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) iliyopo  Kijiji cha Kyaseni Kata ya Uru Mashariki, Wilaya ya Moshi Vijijini Mkoani Kilimanjaro. Ofisi hii  iliyopo katika jimbo la Mbunge Thirili Chami ni miongoni tu mwa ofisi nyingi za chama hicho katika vijiji vingi nchini ambazo zipo katika hali mbaya  huku baadhi ya Vijiji Kama kile cha Kipera, Kata na Tarafa ya Mlali,  Wilayani Mvomero Mkoani Morogoro vikiwa havina kabisa Majengo ya Ofisi za chama hicho Tawala jambo ambalo linaathiri utendaji wa Viongozi wa Chama ambao ndio wameshikilia mhimili wa kuiongoza dola.Picha na Father Kidevu


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo